Alhamisi, 21 Machi 2019

Ukitaka kujua rafiki anae kujali mtumie SMS hii
   usisahau kushare kwenye maglup yako pia waweza kutazama video zetu YouTube  andika CC3 utatupata 
Haraka sana 

Nakuomba uniazime Tsh 25,000/= nitakurudishia kabla ya jumamox ninashida nazo muhimu sana. Nisaidie tafadhali nakutegemea Wewe Tu Ndio Wakuniokoa najua unazo. "Sio maneno yangu ni mlevi mmoja alisikika akiiomba mashine ya ATM.Maeneo ya mjini. Duh! Ulivyoshtuka ulidhani nakukopa Hela,Hapana, ulishaanza kukunja uso na kuandaa majibu ya kuninyima. Unacheka nini kwani, uongo? 2ma kw marafkzako uwatie PRESHA
BY ...,,,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

share

Chapisho Lililoangaziwa

MTAZAMO

Tafiti zinaonyesha kuwa watu ambao shuleni walikuwa wanapata ziro wakiwa mtaani huwa wana uwezo mkubwa sana wa kuzijua njia za kutafuta pesa...