Nywele ni taji ambalo binadamu amepewa na MUNGU
Nywele hufanya kichwa kionekane kizuri. Hebu fikiria picha ya
Msichana ambaye ana kipara. Je? Atavutia kwa wengi?
Maumbile ya mwanamke yana utukufu anapokuwa na nywele ndefu Biblia inasema ; "lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwasababu amepewa ziwe nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi
(1kor 11:15)
Kama mungu amekupa nywele hizo ili zikuongezee fahari unapaswa uzitunze katika hali ya usafi. Hapa nazungumzia kutunza nywele siyo kupamba lazima ujue tofauti ya kupamba
Nywele ni kule kuweka madoido yasiyo takiwa kama vile rangi tofauti kichwani
Au kuweka vyombo frani kinacho takiwa ni kuzitunza
Wasichana na wanawake wengine wameacha kutunza nywele wakaingia kujipamba kupamba nywele kwaweza kuwa na madhara au hasara zake hasara hizo ni zakiuchumi na kiafya wasichana wengi humaliza pesa na kupoteza mda mwingi katika kupamba vichwa wanadhani kufanya hivyo kutaongeza kukubalika maskini hawajui wanajiweka pabaya mno
Wavulana wazuri wanawaogopa wasichana hao kwa sababu wamejiweka katika daraja la watu wa gharama mno vijana wa kiume huwa wanawakwepa maana wanasema
Nitawezaje kumudu gharama za kumutunza. Itaendelea Wiki ijayo wasiliana nasi kupitia Hapa Whatsapp 0757215974
Usisahau kushare kwenye maglup yako
https://cc3blogaddress.blogspot.com/?m=1
Ijumaa, 22 Machi 2019
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisho Lililoangaziwa
MTAZAMO
Tafiti zinaonyesha kuwa watu ambao shuleni walikuwa wanapata ziro wakiwa mtaani huwa wana uwezo mkubwa sana wa kuzijua njia za kutafuta pesa...
-
Vijana wengi huuliza kwanini katika kuoa mpaka wafunge ndoa ? kwa nini nisichukue 2 mke au mme ilimuladi wazazi wameniruhusu ? zifuataz...
-
mambo mazuli hayataki halaka sikiliza ngoma kali toka kwa b2k mnyama msanii kutoka njombe town ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
share