
zifuatazo ni baadhi ya faida au umuhimu wa kufunga ndoa
kujipatia heshima haki na misingi imara
vijana wanapo funga ndoa kanisani wanajipatia heshima pamoja na wazazi wao wazazi na viongozi wa kanisa huwaombea baraka ili maisha yao yawe mazuri pia nasaha mbalimbali hutolewa na wachungaji na wazazi wao kufunga ndoa pia hukupatia haki rasmi kisheria na kimaadil ya dini
CHAT NAS WHATSSAPP =0757215974
YOUTUBE= CC3
INSTARGRAM =BARAKAMANYOTA
FB=BARAKA MANYOTA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
share