Jumamosi, 23 Machi 2019

FAIDA NA UMUHIMU WA KUFUNGA NDOA

Vijana wengi huuliza kwanini katika kuoa mpaka wafunge ndoa ? kwa nini nisichukue 2 mke au mme ilimuladi wazazi wameniruhusu ?

zifuatazo ni baadhi ya faida au umuhimu wa kufunga ndoa 

kujipatia heshima haki na misingi imara 
vijana wanapo funga ndoa kanisani wanajipatia heshima pamoja na wazazi wao wazazi na viongozi wa kanisa huwaombea baraka ili maisha yao yawe mazuri pia nasaha mbalimbali hutolewa na wachungaji na wazazi wao kufunga ndoa pia hukupatia haki rasmi kisheria na kimaadil ya dini 

CHAT NAS WHATSSAPP =0757215974
YOUTUBE= CC3
INSTARGRAM =BARAKAMANYOTA
FB=BARAKA MANYOTA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

share

Chapisho Lililoangaziwa

MTAZAMO

Tafiti zinaonyesha kuwa watu ambao shuleni walikuwa wanapata ziro wakiwa mtaani huwa wana uwezo mkubwa sana wa kuzijua njia za kutafuta pesa...